<sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
<noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>

    久久精品蜜芽国产亚洲av,国产成人观看免费全部完,1024综综合合久久AV,午夜国产成人精品,国产精品综合承认,国产高跟黑色丝袜在线

    Xi Jinping akagua Mji Baoji wa Mkoa wa Shaanxi na Mji Tianshui wa Mkoa wa Gansu, China

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 12, 2024
    Xi Jinping akagua Mji Baoji wa Mkoa wa Shaanxi na Mji Tianshui wa Mkoa wa Gansu, China
    Xi Jinping akifahamishwa kuhusu hali ya serikali ya mtaa kuimarisha uhifadhi na matumizi ya mabaki ya kale wakati wa ukaguzi wake kwenye Jumba la Makumbusho la Vyombo vya Shaba Nyeusi la Baoji. (Xinhua/Wang Ye)

    Kuanzia mchana wa tarehe 10 hadi asubuhi ya tarehe 11 mwezi huu, Rais wa China Xi Jinping, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China alikagua Mji Baoji wa Mkoa wa Shaanxi na Mji Tianshui wa Mkoa wa Gansu nchini China.

    Katika Mji Baoji, Xi alikagua Jumba la Makumbusho la Vyombo vya Shaba Nyeusi la Baoji na Bustani ya Ikolojia ya Mto Weihe, ambapo alifahamishwa kuhusu hali ya sehemu hiyo kuimarisha uhifadhi na matumizi ya mabaki ya kale ya utamaduni, na kulinda mazingira ya asili ya Mto Weihe.

    Kwenye Mji Tianshui, Xi alikagua Hekalu la Fuxi, Mashamba ya Tufaha ya Nanshan kwenye eneo la Maiji, na Mapango ya Mawe ya Mlima Maijishan, ambapo alifahamishwa kuhusu hali ya sehemu hiyo kuhimiza kazi ya kuhifadhi na kurithisha mabaki ya kale ya utamaduni, na ya kuendeleza viwanda vya kisasa vya kuzalisha bidhaa za matunda yenye sifa ya kipekee ya sehemu ya milimani.

    (Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

    Picha

    久久精品蜜芽国产亚洲av
    <sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
    <noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>