<sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
<noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>

    久久精品蜜芽国产亚洲av,国产成人观看免费全部完,1024综综合合久久AV,午夜国产成人精品,国产精品综合承认,国产高跟黑色丝袜在线

    Simulizi ya Zawadi za Kitaifa za Rais Xi: Sanamu ya Shaba Inayoonesha Vituo vya Acupuncture Kwenye Ngozi ya Mwili wa Mtu

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) April 21, 2023
    Simulizi ya Zawadi za Kitaifa za Rais Xi: Sanamu ya Shaba Inayoonesha Vituo vya Acupuncture Kwenye Ngozi ya Mwili wa Mtu
    Sanamu ya Shaba inayoonesha alama za vituo vya Acupuncture kwenye ngozi ya mwili wa mtu, sanamu ambayo ni zawadi aliyotoa Rais Xi Jinping wa China kwa Shirika la Afya Duniani (WHO) Januari 18, 2017. (Picha na Li Xueren)

    Kwenye Makao Makuu ya Shirika la Afya Duniani huko Geneva, Uswisi, kuna sanamu ya shaba ya kuonesha alama za vituo vya Acupuncture kwenye ngozi ya mwili wa mtu, kimo cha sanamu hiyo ni cha mita 1.8. Sanamu hii ya shaba inayowakilisha matibabu ya jadi ya China ya tiba ya Acupuncture ni zawadi iliyoletwa na Rais wa China Xi Jinping alipotembelea WHO Januari 18, 2017.

    Sanamu hiyo ikiwa chombo cha kutoa mafunzo kuhusu matibabu ya jadi ya China ya kupiga sindano ya Acupuncture na kielelezo cha kutathmini uwezo wa madaktari, imekuwa alama ya elimu ya matibabu ya jadi ya China, na tiba ya Acupuncture pia imejumuishwa kwenye Orodha Wakilishi ya Utamaduni Usioshikika ya Urithi wa Binadamu.

    Kwenye hafla ya kutoa zawadi hiyo, Rais Xi Jinping na Mkurugenzi Mkuu wa WHO wa wakati huo Margaret Chan, walifungua pazia kwa pamoja ili kuonesha sanamu hiyo ya shaba. Akitoa hotuba kwenye hafla hiyo, Rais Xi alisema, tunapaswa kurithi, kuendeleza na kutumia vizuri elimu ya matibabu ya jadi, na kuhimiza mafungamano ya elimu ya matibabu ya jadi na elimu ya matibabu ya kisasa kwa mtazamo wa wazi na jumuishi.

    Kwa hivi sasa, matibabu ya jadi ya China na Dawa za Mitishamba za Kichina (TCM) vimeenea katika nchi na maeneo 196 duniani, na China imesaini makubaliano maalum ya ushirikiano wa TCM na serikali, mamlaka za kikanda na mashirika ya kimataifa zaidi ya 40.

    (Wahariri wa tovuti:Shixi,Zhao Jian)

    Picha

    久久精品蜜芽国产亚洲av
    <sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
    <noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>