<sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
<noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>

    久久精品蜜芽国产亚洲av,国产成人观看免费全部完,1024综综合合久久AV,午夜国产成人精品,国产精品综合承认,国产高跟黑色丝袜在线

    人民網(wǎng)首頁(yè)

    Habari

    Marais wa China na Mali wakutana Beijing, kuinua uhusiano wa nchi hizo mbili

    (Picha na Ju Peng/Xinhua) Rais Xi Jinping wa China tarehe 2 Jumatatu amekutana na Rais wa Mali Assimi Goita, ambaye yuko Beijing kuhudhuria Mkutano wa Kilele wa 2024 wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC). Viongozi hao wawili kwa pamoja wametangaza kuinua uhusiano baina ya nchi hizo mbili hadi kuwa wa ushirikiano wa kimkakati.

    Marais wa China na Malawi wakutana Beijing na kufanya mazungumzo kuhusu kuinua uhusiano kati ya nchi zao

    Asubuhi ya tarehe 3, Septemba, Rais Xi Jinping wa China akikutana na Rais Lazarus Chakwera wa Malawi, ambaye yuko Beijing kuhudhuria Mkutano wa kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) wa mwaka 2024. (Picha na Huang Jingwen/Xinhua) Rais Xi Jinping wa China tarehe 3 amekutana na Rais Lazarus Chakwera wa Malawi, ambaye yuko Beijing kuhudhuria Mkutano wa kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) wa mwaka 2024.

    Xi akutana na mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika

    Asubuhi ya tarehe 3, Septemba, rais Xi Jinping wa China akikutana na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat ambaye yuko Beijing kuhudhuria Mkutano wa Kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika 2024. (Picha na Huang Jingwen/Xinhua) Rais Xi Jinping wa China tarehe 3 amekutana na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat, ambaye yuko Beijing kuhudhuria Mkutano wa kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) wa mwaka 2024.

    Xi akutana na rais wa Chad

    (Picha na Zhai Jianlan/Xinhua) Rais Xi Jinping wa China tarehe 3 alikutana na Rais Mahamat Idriss Deby Itno wa Chad, ambaye yuko Beijing kuhudhuria Mkutano wa kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) wa mwaka 2024.

    Iliyopita3 4 5 6 7 8 Inayofuata
    久久精品蜜芽国产亚洲av
    <sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
    <noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>