<sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
<noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>

    久久精品蜜芽国产亚洲av,国产成人观看免费全部完,1024综综合合久久AV,午夜国产成人精品,国产精品综合承认,国产高跟黑色丝袜在线

    Wajumbe zaidi ya 300 wakutana nchini Kenya kwa majadiliano ya biashara isiyo na mipaka

    (CRI Online) Oktoba 08, 2024

    Wajumbe zaidi ya 300 kutoka taasisi za mapato yatokanayo na kodi barani Afrika, mashirika ya Umoja wa Mataifa, na jumuiya za kiuchumi za kikanda za Afrika wameanza kukutana Jumatatu mjini Nairobi, Kenya, ili kujadili njia za kukuza biashara isiyo na mipaka katika bara hilo.

    Mkutano huo wa siku tatu wa Forodha na Biashara barani Afrika wenye kaulimbiu ya "Biashara Isiyo na Mipaka: Uwezeshaji Bora wa Biashara katika Zama za Kidijitali" umewaleta pamoja washiriki kuangalia njia za kutumia kikamilifu teknolojia ili kuongeza uwezeshaji wa biashara barani Afrika.

    Kiogozi wa Mawaziri wa Kenya ambaye pia ni Waziri wa Masuala ya Kigeni na Diaspora Musalia Mudavadi amesema kuwa wasimamizi wa mipaka na forodha lazima watumie kikamilifu suluhu na mifumo inayoendeshwa na teknolojia ambayo inarahisisha biashara na kuboresha uhamasishaji wa rasilimali za ndani.

    Naye mkuu wa idara ya forodha, ushirikiano, uwezeshaji biashara, na uchukuzi bidhaa katika Eneo la Biashara Huria la Afrika Gyang Demitta Chinwude, amesema ili kuwa na mazingira ya biashara yasiyo na mipaka, Afrika inapaswa kuwa na miundombinu ya kidijitali ambayo inahitaji uwekezaji katika uunganishaji wa intaneti, majukwaa ya kidijitali, na mifumo salama ya mawasiliano ya kuvuka mipaka.

    (Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

    Picha

    久久精品蜜芽国产亚洲av
    <sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
    <noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>