<sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
<noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>

    久久精品蜜芽国产亚洲av,国产成人观看免费全部完,1024综综合合久久AV,午夜国产成人精品,国产精品综合承认,国产高跟黑色丝袜在线

    China yapinga vitendo vyovyote vya kudhuru raia

    (CRI Online) Septemba 25, 2024

    Wizara ya Afya nchini Lebanon ilisema siku ya Jumatatu, kwamba mashambulizi ya mabomu yaliyofanywa siku hiyo na Israel dhidi ya Lebanon yamesababisha vifo vya watu 492 na wengine 1,645 kujeruhiwa.

    Akizungumzia mashambulizi hayo, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China Bw. Lin Jian jana Jumanne alipokutana na wanahabari amesema, China inapinga vitendo vya kukiuka mamlaka ya kitaifa na usalama wa Lebanon, na kulaani vitendo vyovyote vinavyodhuru raia.

    Bw. Lin amesema China inazitaka pande husika kuchukua hatua na kupunguza mvutano, kuzuia hali ya wasiwasi ya kanda hiyo kuwa mbaya zaidi, na kulinda utulivu wa kikanda na usalama wa maisha ya watu.

    (Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Renato Lu)

    Picha

    久久精品蜜芽国产亚洲av
    <sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
    <noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>