<sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
<noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>

    久久精品蜜芽国产亚洲av,国产成人观看免费全部完,1024综综合合久久AV,午夜国产成人精品,国产精品综合承认,国产高跟黑色丝袜在线

    Tunisia, Iraq zaahidi kuimarisha ushirikiano wa kitamaduni

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 20, 2024

    Rais wa Tunisia Kais Saied (Kulia) akikutana na Waziri wa Utamaduni, Utalii na Mambo ya Kale wa Iraq Ahmed Fakak Al-Badrani mjini Tunis, Tunisia, Septemba 19, 2024. (Urais wa Tunisia/Kitini kupitia Xinhua)

    Rais wa Tunisia Kais Saied (Kulia) akikutana na Waziri wa Utamaduni, Utalii na Mambo ya Kale wa Iraq Ahmed Fakak Al-Badrani mjini Tunis, Tunisia, Septemba 19, 2024. (Urais wa Tunisia/Kitini kupitia Xinhua)

    TUNIS - Rais wa Tunisia Kais Saied ametangaza Alhamisi kwenye mkutano na Waziri wa Utamaduni, Utalii, na Mambo ya Kale wa Iraq Ahmed Fakak Al-Badrani kwamba Tunisia iko tayari kuimarisha ushirikiano wa kitamaduni na Iraq.

    Kwa mujibu wa ikulu ya Tunisia, kwenye mkutano huo, Saied amesisitiza dhamira ya Tunisia ya kuimarisha mabadilishano ya kitamaduni na kuendeleza mifumo ya ushirikiano wa pande mbili, hasa kwa kuanzisha vituo vya kitamaduni katika pande zote za Tunisia na Iraq.

    Amesisitiza zaidi umuhimu wa utamaduni katika kuendeleza fikra za kiufunuo na kupambana na itikadi kali, akisema kwamba "utamaduni ni ngome ya jamii na daraja la kizuoni la ukaribu kati ya watu."

    Kwa upande wake, Al-Badrani ameelezea shauku ya Iraq ya kuendeleza uhusiano wa pande mbili kwa manufaa ya mataifa yote mawili.

    (Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

    Picha

    久久精品蜜芽国产亚洲av
    <sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
    <noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>