<sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
<noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>

    久久精品蜜芽国产亚洲av,国产成人观看免费全部完,1024综综合合久久AV,午夜国产成人精品,国产精品综合承认,国产高跟黑色丝袜在线

    Ufikiaji wa huduma ya 5G kwa Tanzania wapanuka kwa kasi na kufikia asilimia 15

    (CRI Online) Julai 24, 2024

    Asilimia ya idadi ya watu wa Tanzania wanaofikiwa na huduma ya mawasiliano ya habari ya kizazi cha tano (5G) imepanda hadi kufikia asilimia 15 katika robo ya pili ya mwaka huu wa kalenda, kutokana na uwekezaji unaoendelea katika miundombinu ya mawasiliano nchini Tanzania.

    Ripoti mpya ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inaonyesha kuwa mawasiliano ya 5G yamepanda kutoka asilimia 13 ya watu katika robo ya kwanza hadi asilimia 15 katika robo ya pili.

    Tanzania ilizindua huduma ya 5G mwaka jana. Ufikiaji wa 3G umefikia asilimia 89 ya idadi ya watu, na hivyo kuimarisha upatikanaji wa huduma za data, wakati ufikiaji wa 4G umefikia asilimia 83, hali ambayo imeboresha kasi na kuaminika kwa huduma za mtandao.

    (Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

    Picha

    久久精品蜜芽国产亚洲av
    <sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
    <noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>