<sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
<noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>

    久久精品蜜芽国产亚洲av,国产成人观看免费全部完,1024综综合合久久AV,午夜国产成人精品,国产精品综合承认,国产高跟黑色丝袜在线

    Shughuli ya uenezi mtandaoni wa utamaduni wa Mfereji Mkuu wa China yazinduliwa Jiangsu, China

    (Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 24, 2024

    Katika kuadhimisha miaka 10 tangu Mfereji Mkuu wa China uorodheshwe kwa mafanikio kwenye Orodha ya Urithi wa Dunia, shughuli ya uenezi mtandaoni yenye kauli mbiu ya “Urithi wa China, Mfereji Mkuu wa Miaka Elfu” iliyodhaminiwa kwa pamoja na Ofisi ya Kamati Kuu ya Mambo ya Mtandao wa Intaneti ya China, Idara ya Mabaki ya Kale ya Kitamaduni ya China, gazeti la People's Daily, na Kamati ya Mambo ya Mtandao wa Intaneti ya Serikali ya Mkoa wa Jiangsu wa China imezinduliwa rasmi huko Yangzhou, Mkoa wa Jiangsu wa China tarehe 22, Juni.

    Mkurugenzi wa Ofisi ya Kamati Kuu ya Mambo ya Mtandao wa Intaneti ya China Zhuang Rongwen amesema kuwa, mwaka huu ni maadhimisho ya miaka 10 tangu ombi la Mfereji Mkuu wa China kuorodheshwa kwenye Orodha ya Urithi wa Dunia lipitishwe kwa mafanikio.

    Amesema, ni muhimu kuwezesha uenezi wa utamaduni wa mfereji huo kwa kutumia intaneti, kuhimiza na kuendeleza urithi huo wa utamaduni katika zama mpya, na kuufanya “mshipa” huo wa maji wenye historia ya miaka elfu utiririke kuelekea siku za baadaye na duniani.

    Mhariri mkuu wa gazeti la People's Daily Yu Shaoliang amesema, ni muda mwafaka mwaka huu, kwa pamoja kufanya hafla ya uzinduzi wa shughuli hiyo kwenye mji wa Yangzhou, ambao ni mji ulioongoza kazi ya ombi hilo la kuorodheshwa kwenye orodha ya urithi wa Dunia kwa mfereji mkuu. Amesema, shughuli hiyo itawezesha uzuri wa utamaduni wa jadi wa China ufikie watu wengi zaidi, hasa vijana.

    Shughuli hiyo pia ilizindua miradi mbalimbali ya vyombo vya habari, na kutangaza matokeo muhimu ya kiakiolojia yaliyogunduliwa kwenye sehemu ya Jiangsu ya mfereji huo mkuu katika miaka hiyo 10 iliyopita.

    Watu zaidi ya 300 kutoka Ofisi ya Kamati Kuu ya Mambo ya Mtandao wa Intaneti ya China, Idara ya Mabaki ya Kale ya Kitamaduni ya China, maafisa wa serikali ya Mkoa wa Jiangsu na Mji wa Yangzhou, wahusika wa People’s Daily, na waandishi habari wengi wameshiriki kwenye shughuli hiyo.

    (Wahariri wa tovuti:Song Ge,Renato Lu)

    Picha

    久久精品蜜芽国产亚洲av
    <sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
    <noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>