<sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
<noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>

    久久精品蜜芽国产亚洲av,国产成人观看免费全部完,1024综综合合久久AV,午夜国产成人精品,国产精品综合承认,国产高跟黑色丝袜在线

    人民網(wǎng)首頁

    Maoni

    Wanafunzi Wakenya waliomwandikia barua Rais Xi na kupokea majibu yake waeleza namna ya Reli ya SGR ya Mombasa-Nairobi inavyoleta mageuzi ya kiuchumi

    Baadhi ya wanafunzi wa Kenya wanaosoma Chuo Kikuu cha Jiaotong cha Beijing, China ambao hapo awali walimwandikia barua Rais Xi Jinping wa China na kupokea jibu lake wameeleza kuwa reli ya SGR ya Mombasa-Nairobi iliyojengwa na Shirika la Madaraja la China imeleta mageuzi makubwa katika sekta za uchumi na usafirishaji nchini Kenya. Wanafunzi hao walimwandikia barua Rais Xi mwezi Oktoba mwaka jana baada ya kumaliza masomo yao katika chuo hicho, wakieleza shukrani zao kwake kwa kuja na Pendekezo la Ukanda Mmoja, Njia Moja ambalo limeleta manufaa makubwa kwa watu na nchi mbalimbali duniani ikiwemo Kenya ambayo imenufaika na miradi ya ushirikiano wa pande mbili ikiwemo miundombinu hususan reli hiyo ya SGR ya Nairobi-Mombasa ambako wanafanya kazi na fursa za ufadhili wa masomo ambazo wao ni moja ya wanufaika.

    Rais wa Comoro asema mawasiliano kati ya Afrika na China ni mfano wa ushirikiano katika "Dunia ya Kusini"

    Rais wa Comoro Bw. Azali Assoumani amesema, katika ushirikiano na nchi za Afrika, China siku zote imekuwa ikifuata kanuni za kutendeana kwa usawa na kushirikiana kwa mafanikio bila kujali ukubwa wa nchi, jambo ambalo limeweka msingi wa ushirikiano kati ya nchi za 'Dunia ya Kusini' na kuwezesha kujenga dunia ya haki ambayo maslahi ya pande zote yanalindwa.

    Rais wa DRC asema China ni mwenzi wa kutegemeka wa Afrika

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Felix Tshisekedi (mbele katikati) (Xinhua/Shi Yu) Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Felix Tshisekedi amesema China imedhihirishwa kuwa ni mwenzi wa kutegemeka katika maendeleo ya bara la Afrika. Akizungumza siku chache kabla ya kuhudhuria mkutano wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) unaofanyika hapa Beijing, Rais Tshisekedi amesema, chini ya mifumo kama FOCAC, miradi mingi ya ushirikiano imetekelezwa nchini DRC, na kutolea mfano mradi wa bandari kavu ya Sakania, kituo cha kuzalisha umeme cha Busanga, na kituo kidogo cha Kinsuka.

    Mabadilishano na ushirikiano katika nyanja ya lugha kati ya China na Afrika ni muhimu kwa uunganishaji wa mioyo ya watu kati ya pande hizo mbili

    Mkutano wa Kilele wa 2024 wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) utafanyika kuanzia kesho Jumatano mjini Beijing na Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki Dkt. Caroline Asiimwe amesema kuwa, mabadiliano na ushirikiano wa nyanja ya lugha kati ya China na Afrika yanasaidia kuunganisha mawasiliano ya watu kati ya pande hizo mbili.

    1 2 3 Inayofuata
    久久精品蜜芽国产亚洲av
    <sup id="ggg8g"><ul id="ggg8g"></ul></sup>
    <noscript id="ggg8g"></noscript>
  • <nav id="ggg8g"><code id="ggg8g"></code></nav>
  • <sup id="ggg8g"><delect id="ggg8g"></delect></sup>
  • <small id="ggg8g"><menu id="ggg8g"></menu></small>